VOICE OF CHANGE V.O.C





Our Organization is a coalition of  patronizing and solid people  with  various professions,graduates from universities , students, workers, farmers, and those from various sectors with the burden of raising community through the utilization of  their own talents .
This Organization  is a non-political, non-governmental , non-religious , non-denominational  and non-commercial rooted in various activities to help the community get humanitarian and human knowledge which gathers people who need  and have willingness to make a difference by getting education, skills and knowledge pertaining to various aspects of the physical , cultural , moral , psychological , social , economic and spiritual  knowledge and eventually educate others to make a difference in their families , in offices , in the local community and the nation as a whole.

This organization also aims to awaken talents, career, abilities and gifts of people by making them self-aware , discover their dormant potentials they possess  that they do not use and then guide them how to use them in the cause to bring changes and development in their lives and their communities in global.

TAASISI YETU YA VOICE OF CHANGE



Taasisi yetu ya Voice Of Change (V.O.C) ni muungano wa watu shupavu na imara kutoka pande zote za Tanzania wakiwa wahitimu wa fani mbalimbali kutoka vyuo vikuu, wanafunzi, wafanyakazi, wakulima,wafugaji ,na wenye kutoka katika sekta mbalimbali wenye  mzigo wa  kuinua jamii kupitia vipaji vyao.Taasisi hii ya Sauti ya mabadiliko ni taasisi ya kijamii, isiyo ya kisiasa,isiyo ya kiserikali,isiyo ya kidini,isiyo ya kidhehebu au ya kibiashara inayojikita katika shughuli mbalimbali za kuisaidia jamii kupata maarifa ya kibinadamu na kiutu ambayo inakusanya watu wenye mzigo na nia ya kuleta mabadiliko kwa njia ya kupata elimu, ujuzi na maarifa yanayohusu masuala mbalimbali ya kimwili,kitamaduni,kimaadili, kisaikolojia, kijamii, kiuchumi na kiroho na hatimaye kuelimisha watu wengine kuleta mabadiliko katika familia zao,maofisini,katika jamii inayowazunguka na taifa kwa ujumla .Taasisi hii pia inalenga kuamsha vipaji ,vipawa ,uwezo na karama za watu kwa njia ya kuwafanya wajitambue wenyewe ,wagundue hazina walizonazo ambazo hawatumii na baadaye kuwaelekeza namna ya kuzitumia katika kusababisha kuleta maabadiliko na maendeleo katika maisha yao na jamii inayowazunguka.

Karibu

Habari
Ninayo furaha kukukaribisha kwenye blogu yetu ya Voice of Change. Ni blogu rasmi ya taasisi yetu ya Voice.

Mkurugenzi